Wednesday 19 August 2015

Lover- Bahati Tena Lyrics

Kama Ni Mapenzi nilishatafuta sana,
Kama ni kutosa nilishatosa kwa bana,
Kama Ni mapenzi nilishatafuta sana,
*omugwane wanje, songa wachinyimba***
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana



Chorus

You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
             l.o.v.e

Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana

Chorus

Umekuwa baba kwangu [l.o.v]
Roho mtakatifu, [l.o.v]
Nautanashati   ukanipa kimwana
Nayo mashairi ndani yangu ukajaza.

Umekuwa baba kwangu [l.o.v]
Roho mtakatifu, [l.o.v]
Yote pokea sifa moyoni umefanya,
Maulana si kawaida kenya wakanidata,
Yote pokea sifa moyoni umefanya,
Najua Africa Mtoto wa  mama atasikika.

Chorus

No comments:

Post a Comment