Friday 2 October 2015

Dandi lyrics- Kristoff ft frasha and Kaka Sungura

Chorus (Frasha)

Leo mi na dandia tu kama mat

Leo mi na dandia tu kama mat

Leo mi na dandia tu kama mat

Leo mi na dan, mi na dan, mi na dan, mi na dan

 Mi na dandia tu kama mathree


Leo mi na dandia tu kama mathree

Leo mi na dandia tu kama mathree

Leo mi na dan, mi na dan, mi na dan, mi na dan, mi na


Verse 1 (Kristoff)

Leo mi na dandia kaa matatu

Hata wakuje kama watatu

Wanapenda hizi zangu tattoo

Hawa wasupa, wasiwe wote ni kiatu

(Frasha)

Hmmmmmmm, si kiatu

Kama H_art The Band, uliza kiatu

Chora seven, ki masaku

African Bantu, design ya Bamboo,

Siwezi isha, mi si bundles

Juu wakiniona wanamelt kama candles

Niko Coast nimepiga tu ma sandles

Baby niko Instagram check out my handle




Chorus (Kristoff)



Verse 2 (Frasha)

Take a 10, take a bus, toka ndutheeee

Mi natetemesha men kama ridhee

Kudandiaga track iko ndethe

Msapere kwa kazi kaa Kangethe

Hii lazima waingize njeve

Nawatafuna man, tu kama ka veve

Leo tu mi na dandia

Sina kakitu so leo ni ku dandia

Dem yako akikaa mbaya mi na dandia

Wagenge wale wale wa kukuchapia

Naweka pale pale ya kawadia

Naweka bahali ake kawadia




Chorus (Kristoff)



Verse 3 (Rabbit)

Oya beba beba, We ndio dere

Basi come uniletee kierere, Twendere, hadi Butere

Leo ntakudandia kaa mat, Baadaye, nakuchew kaa khat

Beat ina boom boom clap, We nime expe basi sete

Makali au gin, waiter letee, Umekua ukinihepa kaa Odede

Tuna misbehave kaa Masaku, My Dress my Choice imekukwachu

Aaai aaaai lemme touch you




Chorus (Kristoff)


No comments:

Post a Comment